Si
wengine bali ni bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma
Africa band aka FFU ukipenda waite viumbe wa ajabu "Anunnaki alien" au
watoto wa mbwa, ambao walifanikiwa kutingisha jukwaa tena siku ya
jumamosi 7 Juni 2014 mjini Dortmund,Ujerumani.katika onyesho la
Challenge Festival liloandaliwa na umoja wa Wakameruni nchini Ujerumani.
Wasikilize FFU Ughaibuni at www.ngoma-africa.com
Kamanda Ras Makunja akiongoza mashambulizi
Hapo ni supu ya mawe kwa kwenda mbele. Kamanda awapo jukwaani anacheka lakini hakuna masikhara kabisa katika gwaride
Sehemu ya nyomi ya wadau katika onesho la FFU Ughaibuni
Ras Makunja akikipa ishara kikosi chake wakati wa Sebene la nguvu
No comments:
Post a Comment