Pages

Ads 468x60px

Featured Posts

Sunday, September 21, 2014

BIG BROTHER AFRICA YAPUNGUZWA MDA WA SHINDANO KUTOKA MIEZI 3 MPAKA 2,SOMA TAARIFA HAPA

Mashabiki wa reality show ya Big Brother Africa mwaka huu watakuwa na muda mfupi zaidi wa kupata burudani ya kipindi hicho, baada ya siku za washiriki kukaa kwenye mjengo wa Biggie kupunguzwa kutoka 91 kama ilivyokuwa miaka mingine hadi siku 63.
Hotshots_NL
Huenda kupunguzwa kwa siku kumketokana na BBA Hotshots kuchelewa kuanza baada ya nyumba iliyokuwa imeandaliwa kuungua moto September 2, na kusababisha kuahirishwa kwa uzinduzi uliokuwa umepangwa kufanyika September 7 na sasa utafanyika October 5.
Hii ni sehemu ya habari inayotaja siku 63 za shindano la mwaka huu iliyoandikwa kwenye website maalum ya Big Brother Hot Shots.

“Big Brother Africa returns to the continent’s television screens, a little later, a lot better and definitely hotter! Big Brother HotShots is going to dish out drama, more entertainment than you can handle and most importantly a cool USD300 000 to the housemate who will manage to survive 63 days in Biggie’s house“.

Isome hapa taarifa hiyo.

MSANII CASSIM MAGANGA AWAPA BURUDANI WATANZANIA WAISHIO MAREKANI,WAZIRI NYALANDU AFURAHISHWA NA SHOW KALI

Msanii wa muziki nchini Cassim Mganga ambaye kwa sasa yupo nchini Marekani amepata nafasi ya kutoa burudani ndani ya ubalozi ya Tanzania nchini Marekani huku waziri wa maliasili na utalii, Lazaro Nyalandu pamoja na balozi wa Tanzania, Bi Ribelata Mulamula wakihudhuria.
Waziri Nyalandu (kustoto)Kassim Mganga (katikati) pamoja na mama Waziri Nyalandu (kulia)Kassim Mganga (katikati) pamoja na balozi wa Tanzania Marekani mama Ribelata Mulamula
“Asante mama Ribelata Mulamula ,balozi wa Tanzania Marekani,asante Muheshimu Razalo Nyalandu..it waz big thing….pamoja tumefanikisha..Tanzania mbele daima,” ameandika Cassim kwenye ukurasa wake wa Facebook.
Kassim akiwa na wadau mbalimbali akitoa burudani Cassim akiwa na wadau mbalimbali akitoa burudani 10247380_969072093149159_3712968386863153285_n
10418901_969073816482320_2844735746331208539_n
10646922_969021246487577_30920273616524500_n
10653673_969078026481899_2758077828535819805_n
10666101_688464931230829_553417570_n
Picha KWA hisani ya mitandao

Thursday, June 19, 2014

Hivi ndivyo Lupita Nyongo Alivyopiga Picha za jarida la Vogue litakalotoka August 2014

Sasa tunaweza kusema rasmi kuwa Lupita Nyong’o amekuwa na mwaka mzuri katika maisha yake yote. lupita-vogue-cover
Baada ya kushinda tuzo ya Oscar kwa kuigiza kama msichana mtumwa aitwaye Patsey kwenye filamu iliyoongozwa na Steve McQueen, 12 Years a Slave na kisha kutajwa na jarida la People kama Most Beautiful Person, sasa amekava jarida maarufu la Vogue.
Lupita ataonekana kwenye jarida la August 2014 la Vogue.




Thursday, June 12, 2014

Ngoma Africa Band watikisa mji wa Dortmund,Ujerumani

 Si wengine bali ni bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU ukipenda waite viumbe wa ajabu "Anunnaki alien" au watoto wa mbwa, ambao walifanikiwa kutingisha jukwaa tena siku ya jumamosi 7 Juni 2014 mjini Dortmund,Ujerumani.katika onyesho la Challenge Festival liloandaliwa na umoja wa Wakameruni nchini Ujerumani. Wasikilize FFU Ughaibuni at www.ngoma-africa.com
 Kamanda Ras Makunja akiongoza mashambulizi
 Hapo ni supu ya mawe kwa kwenda mbele. Kamanda awapo jukwaani anacheka lakini hakuna masikhara kabisa katika gwaride
 Sehemu ya nyomi ya wadau katika onesho la FFU Ughaibuni
 Ras Makunja akikipa ishara kikosi chake wakati wa Sebene la nguvu


Sunday, June 1, 2014

TAZAMA PICHA 10 JINSI DIAMOND ALIVYOWEKA HISTORIA KUBWA NEW JERSEY‏ KWA SHOW KALIIII

 All Star Club Elizabeth New Jersey Diamond akikamua licha ya show kuchelewa kuanza na wapenzi wa Diamond kushikwa na jazba wakitaka aendelee lakini ikashindika kutokana na muda wa kufunga club kufika. Picha zote na Vijimambo Blog
 AJ nae akifanya yake baada ya kupewa nafasi ya ufunguzi katika show hiyo iliyofanyika New Jersey.
AJ Ubao na Dirty Hary wakishambulia jukwaa kwenye show ya kufubgua pazia iliyoanyika New Jersey na baadae Prezidaa wa Wasafi, Diamond Plutnumz kuwapagawisha mashabiki wake wa ukanda wa pwani ya mashariki.
Ni Rais wa Wasafi akishambulia jukwaa akiwa na madancer wake kwenye show ya kukata na shoka iliyofanyika New Jersey na kuvuta mashabiki kutoka kila kona ya pwani ya mashariki ambayo ni DC, PA, NJ, NY, CT, MA na kwingineko
Diamond mwanamuziki wa kizazi kipya anayekimbiza vibaya mno kwenye anga za Bongo Flava akipagawisha mashabiki wake New Jersey nchini Marekani.
Diamond na madancer wake wakijaribu kukata kiu ya mashabiki wake wa pwani ya mashariki.
 Wapenzi wa Diamond wakipagawa na show ya Diamond iliyofanyika All Star Club Elezabeth NJ.

Shabiki akidata na show ya pezidaa wa wasafi.

Saturday, May 31, 2014

DIAMOND NDANI YA WASHINGTON, DC, APIGA PICHA NA MASHABI WAKE, LEO KUFANYA SHOW NEW JERSEY

 Diamond Plutnumz akiongozana na wasafi pamoja na Dj Romy Jons (Dj wake) kulia wakiwa na mwenyeji wao DMK wakiwasili tayari kukutana na mashabiki wake waliofika kwenye mgahawa wa Safari, Washington, DC kumsubili na kupiga nae picha.
  Diamond Plutnumz akiwa ndani ya mgahawa wa Safari na kruu wake katika picha na mashbiki waliofika kumsabai na kupiga nae picha.
 Mashabiki wa Diamond wakipata ukodak moment na Diamond Plutnumz mara tu alipotua ndani ya mgahawa wa Safari siku ya Ijumaa May 30, 2014.
 Shabiki akiwa bado na kiu ya kupata ukodak na Rais wa Wasfai, Diamond kulia ni DMK poromota wa msanii huyo ambaye ndie anayekimbiza sasa hivi na akiwa nominee wa MTV africa na BET award itakayofanyika nchini Marekani June 29, 2014.
 Diamond akiongea jambo na Mkuu wa Utawala na Fedha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka
 Mashabiki wa Diamond Plutnumza wakipata picha ya pamoja na Rais wa Wasafi.
 Mashabiki kutoka jirani zetu Kenya nao wakipata picha na Prezidaa Diamond Plutnumz walipofika kwenye mgahawa wa Safari uliopo Washington, DC.
 Madancer wa Diamond wakiwa na Prezdaa ndani ya mgahawa wa Safari Washington, DC.
 Mtasha wa Kimarekani aliyewahi tembelea Tanzania nae hakuwa nyuma kupata picha na Diamond ndani ya mgahawa wa Safari ulipo Washington, DC
 Shabiki akiwa na furaha kupata ukodak na Rais wa Wasafi Diamond Plutnumz
 Diamond akiwa na shabiki wake katika picha ya pamoja.
Shabiki wa Diamond hakuwa nyuma katika kupata ukodak wa kumbukumbu.
 Shabiki wa Diamond akipata picha ya pamoja na Prezedaa wa Wasafi.
 Shabiki kutoka kwa jirani zetu nae akipata picha huku akijaribu kupata picha kwenye simu yake.
 Dj Romy Jons akipata picha ya pamoja na mashabiki kwenye mgahawa wa Safari uliopo Washington, DC.
 Shabiki katika picha ya pamoja na Diamond.
 Shabiki na Diamond katika picha ya pamoja.
 Shabiki akipozi kwa picha na Diamond.
Shabiki akipozi kwa ukodak moment na Diamond.

Wednesday, May 28, 2014