Ingawa hajasema mpaka sasa anashoot video
ya wimbo wake gani lakini kupitia account yake ya Instagram mwanadada
Victoria Kimani msanii kutoka kule Naija yuko nchini Uganda akishoot
video yake mpya. Hapa nimeona niwaonjeshe kidogo picha hizi ili kupata
hata mwangaza ukiwa kama shabiki wake na mdau wa mziki wake.CHANZO DJ CHOKA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment