Pages

Monday, March 31, 2014

TAZAMA PICHA ZA SHOW KALI NA VURUGU ZILIZOTOKEA KWENYE SHOW YA DAVIDO NCHINI MAREKANI.


Davido afunika mbovu kwenye ukumbi wa Pulse 48 Brooklyn, NY. Ukumbi huu unauwezo wa kuingiza watu zaidi ya Elf 1 lakini ulijaa na kusababisha vurugu na watu kupoteza fahamu kutokana na kukosa hewa. Kiingilio cha show hii kilikuwa ni kuanzia Dollar 40, ukinunua kabla ya show na mlangoni ilikuwa Dollar 60, VIP kwa watu wanne ilikuwa Dollar 650.


Davido alizikonga nyoyo za mashabiki wake kabla ya show kufunjwa na polisi wa usalama na wa zimamoto.

Moja ya ugomvi mkubwa uliotokea kabla ya Davido kupanda jukwaani.

Watu walijaa kupita hadi kukosekani amani ndani ya ukumbi huu licha ya winter watu walisweat kama punda.

Huu ndiyo umati uliojitokeza katika show hiyo ya Davido ukodak wa Vijimambo kama kawaida ulikuwa live ndani ukumbi huo.

Nilivutiwa na bango hili kwenye stage linalomwonesha Diamond kuwa ni mmoja kati ya wanaowania tunzo ya AFRIMMA. Sherehe za kukabizi tunzo hizo zitafanyaka july 26 katika ukumbi wa Eisemann Center Richardson, Dallas, TX

Ugomvi ndani ya ukumbi Vijimambo kama kawaida on point.....!!

Mtu kapoteza fahamu baada ya kuzidiwa na hali ya hewa.









Sunday, March 30, 2014

MMILIKI WA ZAMANI WA THE SOURCE MAGAZINE APIGWA RISASI NA MPWA WAKE PICHA NA STORY HIVI HAPA


Former owner of The Source magazine turned Love & Hip Hop Atlanta star, Benzino, was shot by his nephew while riding in a funeral procession for his mother after they two got into a heated argument.

According to WCVB ... the district attorney says Benzino was shot by his nephew Gai Scott, adding, "There has been growing family tension" between the two.
The D.A. says Benzino and Gai were in different cars ... but when the two were side-by-side at some point, his nephew allegedly fired shots.
Gai was charged with assault with intent to murder.
Benzino is currently in stable condition and his co-star Stevie J posted a pic on Instagram of the reality star in the hospital to prove it. B's biceps are bandaged ... so it appears that's where he was shot.
enter image description here
enter image description here

LIST YA WATU MAARUFU WALIOALIKWA KWENYE HARUSI YA KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN



Harusi ya Kanye West na Kim Kardashian inakaribia, list ya mastaa wa marekani walioalikwa ni hii hapa.

1) OPRAH WINFREY


2. WILL SMITH


3.NICOLE RICH


4. LA LA ANTHONY


5. RYAN SEACREST.



6. JAY Z & BEYONCE





TAZAMA PICHA:: SHOW YA OMMY DIMPOZ ALIVYOWAPOTEZA WAARABU(MAUSTADHI NA MAUSTADHAT) HUKO MUSCAT.



Yes Kama kawaida  Tunakupa taarifa za burudani zote duniani na kama unafuatilia story za msanii Ommy Dimpoz utakuwa umeipata hii kuhusu show aliyofanya jana usiku pale Muscat Oman. Ommy alifanya live show na bendi yake ya PKP. Hizi picha na video kutoka kwenye show hio.



dimpoz 2 dimpoz 3 dimpoz
Hii Video Fupi Ya Watu Wakicheza muziki wa Ommy Dimpoz Kwenye Show Hio